Saturday, October 5, 2013

Madrid Hawamkumbuki Ozil-Ancelotti


Kocha wa Real Madrid Carlo Ancelotti anasisitiza kwamba hawammiss Mesut Ozil
mchezaji 
waliyemuuza kwenda Arsenal licha ya kwamba mchezaji huyo kuwa na mwanzo mzuri  huku akiisaidia timu yake kuongoza ligi ya Uingereza na kundi lao katika ligi ya Mabingwa Ulaya.
"Sijuti kumuuza Ozil" Ancelotti aliwaambia wanahabari,aliendelea,"ninamtakia kila la heri lakini hatumuhitaji kwa kuwa tunafanya vizuri katika ushambuliaji bila yeye".
"tunatakiwa kubalance kwani tunafunga magori mengi lakini pia tunafungwa mengi"



MECHI ZA  LIGI KUU UINGEREZA leo tarehe 05/10/2013
Man  City
v
Everton
Saa 8:45 mchana
Cardif City
v
Newcastle
Saa 11:00 jioni
Fulham
v
Stoke city
Saa 11:00 jioni
Hull City
v
Aston Vila
Saa 11:00 jioni
Liverpool
v
Crystal Palace
Saa 11:00 jioni
Sunderland
v
Man United
Saa 1:30 usiku

No comments:

Post a Comment

google +

google +
chris kyando

FIND US ON FACEBOOK