Saturday, October 5, 2013

Ajali zaendelea kutumaliza na kutupa vilema vya kudumu.

.pichani:wasamalia wakimpakia Dereva wa  Lori la IT akiwa amevunjika mguu baada ya  lori lake kugongana uso kwa uso na  fuso.

Ajali za barabarani zimeendelea kutoa roho za ndugu zetu huku zikiacha walemavu wengi.Ajali mbaya imetokea jana majira ya saa 12:50 jioni katika wilaya ya kilolo mkoani Iringa katika barabara kuu ya Dar es salaam-Iringa.Katika ajali hiyo lori la IT na fuso yamegongana uso kwa uso na kusababisha vifo ya dereva wa fuso na konda wake huku  ikiacha majeruhi ,dereva wa lori la IT na abiria aliyekuwa naye

hii ni picha jinsi mguu ulivyoharibiwa na ajali.Inatisha!


No comments:

Post a Comment

google +

google +
chris kyando

FIND US ON FACEBOOK