Wednesday, December 17, 2014

Umeicheki hii? Mzee hajaoga kwa muda wa miaka 60!!




Amou hadji mzaliwa wa Iran amepamba vichwa vya habari wiki hii kwa kuvunja rekodi ya mtu ambaye
hajaoga kwa muda mrefu iliyokuwa ikishikiliwa na Mhindi Kailash Sigh ambaye hakuwahi kuoga kwa zaidi ya miaka 38.Bwana Amou Hadji alioga kwa mara ya mwisho mwaka 1954 akiwa na miaka 20 tu ,baada ya hapo hajaoga tena.
Inasemekana  bwana Hadji alikuwa na msongo wa mawazo sana ujana wake akaamua kuishi maisha ya kujitenga na jamii.Alifanikiwa kuwakwepa vijana ambao walijitolea kumwogesha mara nyingi kwani aliamini usafi kwake ungemsababishia kuumwa!
Muda wote huo alipenda kula vyakula na vinywaji visivyokuwa katika hali ya usafi na kuvuta kinyesi  cha wanyama kama sigara kutumia kiko chake.

No comments:

Post a Comment

google +

google +
chris kyando

FIND US ON FACEBOOK