Sunday, October 6, 2013

'Guinness Book of Records" wamtambua binti Supatra Sasuphan.


Picha ya Supatra akiwa kwenye pozi


Kitabu maarufu kwa Rekodi za watu ambao wanavitu vya tofauti au waliwahi kufanya vitu vya tofauti na wengine,watalaamu wahusika wameridhika kwamba binti anayeaminika kuwa na nywele nyingi mwilini mwake pengine kuliko yeyote duniani akiwa na umri wa miaka 11 tu aingizwe katika kitabu hicho.
Hapa Supatra akiwa na wanafunzi wenzake shuleni.

Supatra anashiriki michezo pia kama anavyoonekana

Pengine siyo wewe tu unashangaa,hata akiwa matembezini wengi humwangalia

Supatra anafamilia inayompenda,hapa kutoka kushoto ni dada yake anaitwa Sukanya,baba yake anaitwa Sammrueng na mama yao  Somphon(mwendo wa SSSS)

Supatra akipata msosi shuleni

Nywele zake hukua sana,hivyo mama yake humpunguza kwa mkasi asitishe sana!

No comments:

Post a Comment

google +

google +
chris kyando

FIND US ON FACEBOOK