Mchezaji nyota wa Manchester United na mshindi wa Kiatu cha dhahabu misimu miwili mfululizo Robin Van Perse akiwa na Mtanzania Hashim Thabit mcheza kikapu wa ligi ya NBA ya Marekani katika timu ya Oklahoma City Thunder.Toa maoni yako unaionaje picha hii.
RVP anaonekana 'dwarf" mbele ya Hashimu mwenye urefu wa futi 7 na nchi 3.
No comments:
Post a Comment