Thursday, January 6, 2022

MHE. JOB NDUGAI AJIUZULU USPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

Spika wa Bunge Mhe. Job Ndugai awasilisha barua ya kujiuzulu nafasi yake ya Spika kwa hiari yake mwenyewe.



Nini maoni yako kwa hatua hii ya Spika wa Bunge kujiuzulu?

Friday, October 16, 2015

R.I.P Deo Filikunjombe!

 Mbunge wa ludewa Mh. Deo Filikunjombe ametutoka baada ya ajali  ya Helkopta.

Admission letters kwa waliochaguliwa kujiunga chuo kikuu Dodoma 2015/2016 zimeshatoka!




M-Pesa yanasa polisi Kenya, 63 watimuliwa




Maafisa wa ngazi za juu 63 wa jeshi la polisi nchini Kenya wamefukuzwa kazi katika juhudi za kusafisha jeshi hilo kutokana na madai ya rushwa. Miongoni mwa waliofukuzwa ni pamoja na aliyekuwa msemaji wa jeshi hilo Masoud Mwinyi.

google +

google +
chris kyando

FIND US ON FACEBOOK